BurudaniHabariMahojiano

Wakazi amchana Roma Mkatoliki, aeleza chanzo cha ugomvi wao

Rapa wa muziki wa Bongo Fleva @wakazi kwenye shindano la Unitalent alikuwa mmoja ya majaji.

Baada ya shindano kumalizika wana habari walimuuliza baadhi ya vitu ikiwemo kwanini ana ugomvi na staa (rapa) mwenzake @roma_zimbabwe

@wakazi akasimulia chanzo cha ugomvi wao kutoka mwanzo kabisa.

@wakazi ameenda mbali zaidi akisema @roma_zimbabwe huwa hakumbuki fadhila maana yeye ndio alikuwa mstari wa mbele kupiga kelele wakati ametekwa.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents