Burudani

Wasanii wa Fiesta wachangia shilingi milioni 40 kwa wahanga wa tetemeko Bukoba

Wasanii wanaoshiriki kwenye tamasha la Fiesta, wamechangia shilingi milioni 40 kusaidia waathirika wa tetemeko la ardhi lililosababisha vifo na kuharibu makazi ya maelfu ya wananchi hususan mkoani Kagera.

14369019_1804184776480052_2001703350_n

Wasanii hao Ijumaa hii walitembelea bungeni Dodoma na Naibu Spika, Dkt Tulia Ackson, kutangaza mchango wao.

14374022_303771083330765_718239287_n

“Asanteni sana vijana wetu na wasanii wetu kwa zoezi mlilokuja kufanya leo lakini pia kwa mchango wenu kwaajili ya maafa ambayo yametupata kama taifa,” alisema Dkt Ackson.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents