Habari

Watu 21 wanusurika kifo kwenye ajali ya treni Kigoma

Watu 21 wamenusurika kifo kwenye ajali mbaya ya Treni mchana wa leo katika Kijiji cha Mpeta wilayani Uvinza, mkoani Kigoma kati ya stesheni ya Malagarasi na Uvinza.

Akithibisha taarifa hizo, Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kigoma amesema hakuna mtu aliyepoteza maisha kwenye ajali hiyo, huku akiahidi kutoa taarifa zaidi juu ya tukio hilo.

Mashahidi wamesema kuwa kichwa cha Treni kiliacha reli na kudumbukia kwenye dimbwi la maji kuna mabehewa mawili yakifuata kichwa hicho.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents