Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano
Watu wangu wa karibu wananiambia Uislam unanipendeza zaidi – Whozu
Moshi nikienda wakiulizia mambo ya dini namwaga pesa tu hakuna la ziada. Nikiwa kwenye mavazi haya wewe ulizia pesa tu.
Kauli ya @whozu_ baada ya kuulizwa nyumbani Moshi watapokeaje endapo atabadili dini??
@whozu_ ameweka wazi kuwa bado hajabadili dini ila watu wanaomzunguka wanamwambia anapendezea Uislam.
@el_mando_tz kuhusu jina lake jipya alilopewa na @billnass la WALID.
Pia ameongeza kuwa namna ya kuomba dua huwa anamsikia @wemasepetu anavyoomba na namna alivyoseali.