Habari
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa afunguka “Hata wapinzani wamepiga kura ya ndio, hili ni deni kubwa” (Video)
Baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kupitishwa na bunge kwa asilimi 100, amezungumza kumshukuru Rais Magufuli pamoja na wabunge.
Baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kupitishwa na bunge kwa asilimi 100, amezungumza kumshukuru Rais Magufuli pamoja na wabunge.