Burudani
Wizkid awa msanii wa 1 Nigeria kuwa na followers milioni 1 kwenye Twitter
Wizkid amekuwa msanii wa kwanza nchini Nigeria kuwa na followers zaidi ya milioni moja. Staa huyo amefikisha idadi hiyo ya followers Feb, 19, 2014.
Kwa mbali wanaomfuatia ni D’banj (816k), Don Jazzy (719k), 2face Idibia (686k), na muigizaji wa filamu Genevieve Nnaji (542k).
Pia Wizkid anaongoza kwenye Twitter kwakuwa na followers zaidi ya 150,000.