BurudaniPicha

Yuko wapi Meninah? Tuna picha mpya na anachofanya sasa

Meninah kapotea kama embe la msimu. Yuko wapi? Well, kwa sasa cheo chake kimebadilika. Ni mke wa mtu aka Mrs Abdulkareem na pia ni CEO.

11355999_1046754505346969_996536552_n

Baada tu ya kuolewa, muimbaji huyo wa kundi la Shosteez, alifungua kampuni iitwayo Meninah Investment ambayo kwa anachokiandika, mambo yanaonekana kuwa yanamwendea fresh.

12104983_1692846114327292_2112927507_n

“I don’t give anyone a reason to hate me. They create their own drama out of pure jealousy…….musclemoney weekmuscleyoung and ambitious I choose what makes me happy just leaving uncomplicated,” ameandika kwenye picha hiyo juu.

Kwenye picha nyingine akiwa ofisini kwake, Meninah ameandika: Work work work C.E.O always incharge……..”

12783186_1119406234746513_1707558654_n

“At office cooperate look for my cooperative clients my company my business my dollars,” aliandika kwenye picha nyingine.

12797734_1689356338012796_1759979061_n

12716542_1673047336292937_564320191_n

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents