Picha

Ajifungua mtoto kwenye ndege futi 30,000 angani

Mama mmoja anasherehekea kujifungua mtoto njiti bila kutarajia akiwa kwenye ndege futi 30,000 angani.

stream_img

Mtoto huyo wa kike aliyepewa jina, Haven, alizaliwa salama baada ya labor kudumu kwa saa moja katika ndege ya Cebu Pacific iliyokuwa ikitoka Dubai kwenda, Manila Ufilipino.

Mama huyo, Missy Berberabe Umandal alishare picha kwenye Facebook na maelezo baada ya kujifungua.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents