Picha
Ajifungua mtoto kwenye ndege futi 30,000 angani
Mama mmoja anasherehekea kujifungua mtoto njiti bila kutarajia akiwa kwenye ndege futi 30,000 angani.
Mtoto huyo wa kike aliyepewa jina, Haven, alizaliwa salama baada ya labor kudumu kwa saa moja katika ndege ya Cebu Pacific iliyokuwa ikitoka Dubai kwenda, Manila Ufilipino.
Mama huyo, Missy Berberabe Umandal alishare picha kwenye Facebook na maelezo baada ya kujifungua.