Michezo

Antonio Nugaz: Simba bila Janjajanja, Makandokando hawatufungi, Mwanayanga tembea kifua mbele (+Video)

Afisa Habari na Mhamasisha wa Mabingwa wa Kihistoria wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara Young Africans, Antonio Nugaz amewahamasisha mashabiki na wanachama wa klabu hiyo kujitokeza kwa wingi siku ya Jumapili kuishangilia timu yao huku akiongea kwa msisitizo mkubwa kuwa ‘Bila Makandokando’ Wanajangwani hao hawawezi kufungwa.

”Wape salamu Kuwa Jumapili tunakutana nao tukiwa tuko Sawa. Mwana Yanga tembea ringa tena Vimba, jitambe Sisi bila Makando kando hatufungwi. Timu yetu ndiyo iliyojenga historia ya Nchi hii”- Afisa Mhamasishaji wa Young Africans Antonio Nugaz akifunguka kuelekea mchezo wao wa Watani wa Jadi dhidi ya Mnyama Simba siku ya Jumapili ya tarehe 8/03/2020

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents