Harmonize afungua mgahawa unaotembea wa chakula cha bure “Siku hizi naongea sana, Mimi Mbunge mtarajiwa” (+Video)
Burudani
October 20, 2019 - 5:30 pm
Harmonize afungua mgahawa unaotembea wa chakula cha bure “Siku hizi naongea sana, Mimi Mbunge mtarajiwa” (+Video)
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Harmonize leo Oktoba 20, 2019 amefungua mgahawa wake unaotembea wa KONDE BOY MGAHAWA ambao…
Rais Magufuli awaapisha viongozi aliowateua hivi karibuni ‘Nendeni mkawatumikie wananchi hasa wanyonge’ (+Video)
Habari
October 20, 2019 - 5:06 pm
Rais Magufuli awaapisha viongozi aliowateua hivi karibuni ‘Nendeni mkawatumikie wananchi hasa wanyonge’ (+Video)
Rais Magufuli leo Jumapili Oktoba 20, 2019 amewaapisha viongozi hao ambao ni Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI…
Diamond, Rayvanny na Nandy washinda tuzo kubwa nchini Marekani
Habari
October 20, 2019 - 11:26 am
Diamond, Rayvanny na Nandy washinda tuzo kubwa nchini Marekani
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva nchini Tanzania, Diamond Platnumz usiku wa kuamkia leo Jumapili ameshinda tuzo ya African Entertainment…
UTEUZI: Rais Magufuli amtumbua DC Nachingwea na Mkurugenzi wake
Habari
October 20, 2019 - 10:36 am
UTEUZI: Rais Magufuli amtumbua DC Nachingwea na Mkurugenzi wake
Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea, Rukia Muwango na Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya hiyo, Bakari Mohammed uteuzi wao umetenguliwa jana…
KENYA: Uchu wa followers wa Instagram wakiponza kituo cha NRG Radio, Eliud Kipchoge atishia kuwaburuza mahakamani
Habari
October 18, 2019 - 5:19 pm
KENYA: Uchu wa followers wa Instagram wakiponza kituo cha NRG Radio, Eliud Kipchoge atishia kuwaburuza mahakamani
Mwanariadha aliyejizolea umaarufu duniani kutoka nchini Kenya, Eliud Kipchoge amekitaka kituo cha Radio cha NRG cha nchini humo, Kuacha mara…
Nay wa Mitego aja na ‘Ipo Sawa’, Amchana Ben Pol, Aslay, Wema, Dudu Baya, Dogo Janja na Ommy Dimpoz (+Audio)
Habari
October 18, 2019 - 1:29 pm
Nay wa Mitego aja na ‘Ipo Sawa’, Amchana Ben Pol, Aslay, Wema, Dudu Baya, Dogo Janja na Ommy Dimpoz (+Audio)
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego ameachia audio ya ngoma yake mpya ya ‘Ipo Sawa’ aliyotengeneza katika…
BREXIT: Makubaliano mapya ya Uingereza kujitoa Umoja wa Ulaya ni ‘kaa la moto’
Habari
October 18, 2019 - 12:32 pm
BREXIT: Makubaliano mapya ya Uingereza kujitoa Umoja wa Ulaya ni ‘kaa la moto’
Uingereza na Umoja wa Ulaya wameafikiana makubaliano mapya ya Brexit, Yatakayofungua njia kwa nchi hiyo kujitoa rasmi katika Umoja huo…
Ziara ya Rais Magufuli mkoani Lindi yaacha watu 51 mbaroni
Habari
October 18, 2019 - 10:52 am
Ziara ya Rais Magufuli mkoani Lindi yaacha watu 51 mbaroni
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Lindi, inawashikilia viongozi 51 wa vyama 10 vya msingi (Amcos), vinavyodaiwa…
RASMI: Mtangazaji wa EFM Maulid Kitenge ahamia Wasafi FM, Atoka na wenzake wawili na kumvuta Eddo Kumwembe (+Video)
Habari
October 17, 2019 - 4:58 pm
RASMI: Mtangazaji wa EFM Maulid Kitenge ahamia Wasafi FM, Atoka na wenzake wawili na kumvuta Eddo Kumwembe (+Video)
Mtangazaji maarufu wa Habari za Michezo nchini Tanzania, Maulid Kitenge ametangaza rasmi kuwa ameachana na Kituo cha Redio cha EFM…
Mfanyabiashara aliyetajwa kuiibia Tanzania Tsh. Milioni 7 kila dakika, Aachiwa huru
Habari
October 17, 2019 - 4:07 pm
Mfanyabiashara aliyetajwa kuiibia Tanzania Tsh. Milioni 7 kila dakika, Aachiwa huru
Mfanyabiashara maarufu nchini Mohamed Yusufali, Aliyekuwa akikabiliwa na kesi mbili za uhujumu uchumi na kukwepa kodi na kuisababishia Serikali hasara…
Muuguzi amchoma binti sindano ya usingizi na kisha kumbaka, Yaelezwa msichana alikuwa hospitalini akimuuguza mama yake
Picha
October 17, 2019 - 12:18 pm
Muuguzi amchoma binti sindano ya usingizi na kisha kumbaka, Yaelezwa msichana alikuwa hospitalini akimuuguza mama yake
Imeelezwa kuwa muuguzi mmoja wa Hospitali ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Anatuhumiwa kumbaka msichana wa miaka 16 (Jina linahifadhiwa),…
BASI la kanisa lakamatwa likisafirisha misokoto ya bangi Kenya
Habari
October 17, 2019 - 10:15 am
BASI la kanisa lakamatwa likisafirisha misokoto ya bangi Kenya
Basi la kanisa la Kipentekoste la PEFA limekamatwa mjini Voi nchini Kenya likisafirisha madawa ya kulevya aina ya bangi. Kwa…
BAKITA watoa kauli kuhusu ‘Upepo wa kisulisuli’ wa mchungaji Rwakatale
Habari
October 16, 2019 - 6:53 pm
BAKITA watoa kauli kuhusu ‘Upepo wa kisulisuli’ wa mchungaji Rwakatale
Kwa siku mbili sasa kumekuwa na video za mchungaji wa kanisa la Mlima wa Moto, Dkt. Gertrude Rwakatale akiwaombea waumini…
DC Nachingwea na Mkurugenzi wake waingia kwenye 18 za Rais Magufuli ‘Nieleze hizo fedha umepeleka wapi?’ (+vidoe)
Habari
October 16, 2019 - 2:37 pm
DC Nachingwea na Mkurugenzi wake waingia kwenye 18 za Rais Magufuli ‘Nieleze hizo fedha umepeleka wapi?’ (+vidoe)
Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea, Rukia Muwango na Mkurugenzi wake wamemkwaza Rais Magufuli kwa kuchelewesha kukamilisha miradi ya maendeleo wilayani…
Tahadhari ya mvua kubwa yatolewa kwa wakazi wa Dar, Tanga na Pwani
Habari
October 16, 2019 - 11:48 am
Tahadhari ya mvua kubwa yatolewa kwa wakazi wa Dar, Tanga na Pwani
Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya mvua kubwa katika mikoa ya Dar es salaam, Pwani, Tanga…