Siasa
DC Hai “Tulisema Corona haitakuwa na jina kubwa katika nchi kuliko jina la Mungu – Video
Mkuu wa wilaya ya Hai @lengai_ole_sabaya amekutana na viongozi mbalimbali wa dini pamoja na madaktari kuzungumzia hali ya Ugonjwa wa Corona.
Akizungumza nao DC @lengai_ole_sabaya amesema kuwa “Tulifika mahali corona inatajwa kuliko jina la MUNGU, Ni kweli ipo lakini sio kubwa kuliko MUNGU.Ndio maana nchi iliongozwa kujisalimisha kwake”
https://www.instagram.com/p/CAuXUhIhqCP/