Burudani

Diamond afunguka sababu zilizompelekea kuzindua album yake Kenya na sio Tanzania (+video)

Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ameongea Exclusive na Bongo5 sababu iliyomsukuma kwenda nchini Kenya kuzindua album yake ya ‘A BOY FROM TANDALE’ badala ya kuzindulia hapa Tanzania kama wasanii wengine wanavyofanya.

Diamond Platnumz amesema sababu kubwa iliyofanya azindulie Kenya album yake ya ‘A BOY FROM TANDALE’ ni kuimarisha mshikamano wetu kati ya Tanzania na Kenya kama ndugu tena kwa vitendo na sio kwa maneno kama baadhi ya watu wanavyoongea.

Hata hivyo, Ijumaa hii Machi 14, 2018 kutakuwa na Listen Party ya album ya ‘A BOY FROM TANDALE’ ambapo kwa mara ya kwanza mashabiki na wadau wa muziki Tanzania watapata nafasi ya kusikiliza album hiyo inayosubiriwa kwa hamu.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents