Burudani
French Montana kukinukisha Ijumaa
Rapper wa Marekani, French Montana anatarajia kuachia ngoma mpya ‘No Lie’ siku ya ijumaa July 14 ambapo na albamu yake itatoka.
Katika ngoma hiyo inayoshika namba nne kuwepo kwenye albamu ya Jungle Rule ambapo The Weekend na Max B watasikia na kuonekana katika video.
Albamu ya Jungle Rules yenye nyimbo 14, ndio ya kwanza katika maisha ya kimuziki ya msanii huyo mwenye asili ya Afrika ambapo anatokea katika nchi ya Morocco.
Na Laila Sued