Videos
Harmonize aifanyia Remix ngoma yake ya Bedroom, Ashirikisha Rapper 9 Darasa Nay wa Mitego ndani – Video
Harmonize aifanyia Remix ngoma yake ya Bedroom, Ashirikisha Rapper 9 Darasa Nay wa Mitego ndani - Video
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Harmonize ameamua kuifanyia remix ngoma yake ya Bedroom ambayo ipo kwenye album ya AFROEAST.
Katika remix hiyo Harmonize ameamua kushirikisha wasanii 9 ambao wote ni (marapper ) Wana hip hop, wasanii hao ni Darasa, Nay Wa Mitego, Country boy, Younglunya, Rose Ree, Moni Centrozone, Baghdad, Salmin Swaggz, Bilnass, huku yeye Harmonize akimaliza.
By Ally Juma.