Siasa
JPM: Ninawaomba viongozi wenzangu tukizindua kampeni tuzianzie hapa Dodoma, kwa sababu ndiyo Makao Makuu ya nchi (+Video)
“Ninawaomba viongozi wenzangu tukizindua kampeni tuzianzie hapa Dodoma, kwa sababu ndiyo Makao Makuu ya nchi, ninawashukuru kwa mapokezi haya mazuri, nilipomaliza kuchukua fomu pale NEC pamoja na
@SuluhuSamia mama mchapakazi jabali la kweli”
https://www.youtube.com/watch?v=YgON45Vw3aM