Michezo
Mafunzo ya ‘grassroots’ yaanza rasmi (Picha)
Kozi ya makocha wa mpango wa grassroots kwa wasichana na wavulana wenye umri kuanzia miaka 6-12 inaendelea kwenye uwanja wa Ilulu Lindi.
Kozi hu imefunguliwa rasmi jana Novemba 16, 2017
Wanafunzi wa shule ya Msingi Stadium wakicheza mpira baada ya kupata maelekezo kutoka kwa makocha wa mpango wa grassroots.
Kozi inayoendelea kwenye Uwanja wa Ilulu mkoani Lindi.
Picha zikionyesha wachezaji wadogo wakipatiwa mafunzo ya soka