Habari

Makamu wa Rais alilia ulinzi wa watoto (+Video)

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameitaka jamii kuwalinda watoto na kutofumbia macho atakayebainika anadhalilisha watoto wadogo. Tazama video hii Makamu wa Rais akieleza;

Makamu wa Rais aliyasema hayo wakati wa Uzinduzi wa Baraza la Vijana Zanzibar uliofanyika kwenye ukumbi wa Baraza la Wawakilishi wa Zamani Kikwajuni.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents