Michezo

Mayanga atangaza kikosi cha Stars, Samatta, Msuva, Bocco, Ulimwengu ndani

Kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars, Salum Mayanga hii leo ametangaza kikosi cha wachezaji 23 kitakacho wakabili Algeria na DR Congo katika mchezo wa kirafiki wa kalenda ya FIFA.

Stars itashuka dimbani nchini Algeria kuikabili timu ya taifa hilo Machi 22, 2018 wakati ile dhidi ya DR Congo ikitarajiwa kuchezwa Machi 27, 2018 kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents