Tragedy

Msanii wa kundi la TMK Wanaume Halisi afariki dunia

bk

Msanii wa kundi la Wanaume Halisi linaloongozwa na Juma Naturem Baraka Masale Sekela aka BK, (wa kushoto kwenye picha hiyo juu)amefariki dunia leo asubuhi.

Kwa mujibu wa blog ya Sam Misago wa East Africa Radio, taarifa hizo zimetolewa na member wa kundi hilo la TMK Wanaume Halisi, Rich One.

Amesema sababu za kifo cha BK ni matatizo ya tumbo na ini yaliyokuwa yakimsumbua kwa muda mrefu.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents