Michezo

Mwenyekiti mpya wa Simba kwamara ya kwanza afunguka, Mwina Kaduguda akataa kusema chochote kwa waandishi

Mwenyekiti mpya wa Simba kwamara ya kwanza amezungumza na wanahabari mara baada ya kutangazwa kuwa rasmi anashika nyadhifa hiyo wakati wajumbe wake wakipata fursa hiyo ya kusema machache, Mwina Kaduguda kwa upande wake amewakatalia waandishi hao kuzungumzia chochote.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents