Habari

Obama ammwagia sifa Mtanzania, Geline Fuko kwenye hotuba yake

Rais wa Marekani, Barack Obama amemwagia sifa Mtanzania Geline Fuko ambaye ni Mwanaharakati wa haki za binadamu, kwenye hotuba yake ya kwenye mkutano wa vijana Washington DC, Marekani.

obama_sotu_2016_ap_img

Obama amekutana na vijana mbalimbali kutoka bara la Afrika ikiwa ni mpango wa serikali yake kila mwaka toka mwaka 2014 kukutana na vijana hao ambao wanaohusika na kuivusha jamii kwenye masuala mbalimbali ikiwemo biashara na siasa.

Screen-Shot-2016-08-04-at-1.21.24-AM
Geline Fuko

Rais Obama alimsifia Geline kutokana na juhudi zake za kuwawezesha watanzania kusoma katiba ya nchi kupitia simu za mkononi. Tazama video ya Obama akimsifia Mtanzania huyo.

https://youtu.be/4ei0G5YOQfM

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents