Diamond Platnumz

Ommy Dimpoz Kuzindua Single yake,’Baadae’ kiaina yake jumapili hii

Best Upcoming Artist wa Kilimanjaro Music Awards na mkali wa Nai Nai, Ommy Dimpoz, anatarajia kupiga show ya ukweli Jumapili hii kwa ajili ya kuzindua single yake mpya ya ‘Baadae’.

Akizungumza na Bongo5, meneja wa msanii huyo, Muba, amesema kwamba kwa sasa Ommy yuko busy anamalizia kupiga show za Kili Winners Tour ambapo ameshazuguka mikoa mingi ya Tanzania akikamua na washindi wenzake, na punde tu atakapomaliza mwishoni mwa wiki hii show yake ya Mbeya, atakamua Bilz kiania yake.

Ommy Dimpoz atasindikizwa na wasanii wenzake Ben Pol, mwandani wake Diamond Platnumz na wasanii wengine wengi.

Usimose super handsome jumapili ya tarehe 20 kule Bilz mtu wangu.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents