Lady Jay DeePicha

Picha: Lady Jaydee ngangari licha ya safari ndefu ya kupanda Mt. Kilimanjaro

DSC01478 (640x480)

Leo ni siku ya nne ya safari ya Lady Jaydee na mume wake Gadner kuupanda Mlima Kilimanjaro. Kwa mujibu wa picha kutoka kwenye blog ya kilidovetour wanaiongoza safari hiyo, wote wanaonekana kuwa ngangari wasiokuwa na hata chembe moja ya kurudi nyuma.

DSC01402 (640x480)

Safari si nyepesi!!
Safari si nyepesi!!

DSC01443 (640x480)

Gadner
Gadner
Iron lady!!
Iron lady!!
Hakuna kurudi nyuma
Hakuna kurudi nyuma
Binti Komando
Binti Komando

DSC01496 (640x480)

DSC01497 (640x480)

Jide, Gadner na mpiga picha wao
Jide, Gadner na mpiga picha wao
Bado tuko gado
Bado tuko gado

DSC01512 (640x480)

Gadner na Jide wakipumzika kidogo kupata hewa
Gadner na Jide wakipumzika kidogo kupata hewa

DSC01516 (640x480)

Jide kwenye pozi
Jide kwenye pozi

Maendeleo ya safari yao:

January 8 – Mandara Hut(2700m) – Horombo Hut(3720m)
Masaa ya kutembea: 5
January 9: Acclimatization Day at Horombo Hut
Masaa ya kutembea: 4
January 10: Horombo Hut(3720m) – Kibo Hut(4703m)
Masaa ya kutembea: 5
Baadaye leo waanza safari ya kuelekea Uhuru Peak(5895m) kupitia Gillman’s point(5685m)

Hali zao kiafya

Gadner, Lady Jaydee na mpiga picha wao Justin wako fit na wana uwezo wa kuendelea hadi kituo kinachofuata.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents