Picha

Picha: Tetemeko kubwa la ardhi laikumba New Zealand

Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.8, limeikumba New Zealand na kusababisha tsunami.

3a576a8300000578-3931666-image-a-10_1479060678934

Tetemeko hilo limetokea usiku wa kuamkia Jumapili na lilisikika nchi nzima.

3a576b8c00000578-3931666-image-a-12_1479060769689

Waziri Mkuu John Key, amethibitisha kuwa watu wawili wamepoteza maisha.
Tetemeko hilo limesababisha madhara makubwa hususan kwenye miundo mbinu na kuwaacha watu wakirandaranda mtaani.

Hizi ni picha zaidi:

3a55924500000578-3931666-image-a-4_1479057831314

3a54e4ed00000578-3931666-multiple_buildings_were_evacuated_including_hotels_and_airport_t-a-216_1479055906660

3a54e4fd00000578-3931666-people_are_seen_standing_in_the_streets_following_the_earthquake-a-218_1479055906690

3a54e9ae00000578-3931666-people_were_evacuated_from_buildings_along_dixon_street_in_welli-a-210_1479055906532

3a54e64900000578-3931666-people_are_seen_trying_to_contact_others_on_their_phones_after_b-a-190_1479055905733

 

3a55856b00000578-3931666-amora_hotel_guests_gather_in_a_car_park_after_being_evacuated_fr-a-198_1479055905983

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents