Bongo Movie

Ramsey Nouah alivyofanya ibada kwenye kaburi la Kanumba (Video)

Muigizaji kutoka nchini, Nigeria Ramsey Nouh ambaye alifanya movie moja itwayo ‘King Of Devil’ na marehemu Steven Kanumba, ametua nchini Tanzania wiki hii kwaajili ya kukutana na wasanii wa Bongo Movies ambapo siku ya leo alipata nafasi na kunywa chai na Mama Kanumba na baadaye kwenda makaburini kwaajili na ibada.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents