Diamond Platnumz

Simu ya Diamond iliyoibiwa yasababisha kuvuja kwa ngoma yake ‘Ukimwona’

2c9a5e42790e11e2b9fd22000a1fbc16_7

Hivi karibuni tuliweka wimbo mpya wa Diamond uitwao ‘Ukimwona’ na tukajiuliza kama kweli ameiachia rasmi ama imevuja.

DIAMOND – UKIMWONA AUDIO

Hata hivyo Diamond ameiambia blog ya Dj Fetty kuwa ngoma hiyo imevuja baada ya simu yake kuibiwa.

“Kweli kabisa siku release na hiyo nyimbo hapo ilipo haijaisha kabisa, hapa katikati nilikuwa na simu yangu blackberry bold 4 niliipoteza bahati mbaya ikaibiwa,” alisema Diamond.

“Ila kila kitu kinachotokea kwangu sometimes namshukuru Mungu kwasababu yeye ndio anaandika, watu wanaipeda sana napoenda kwenye show zangu watu wanataka niimbe, namshukuru sana Mungu.”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents