Michezo
Video: Ni rasmi Simba SC kukipiga na Sevilla FC/ TFF na Sportpesa zabariki/ sababu za kuachwa Yanga zatolewa
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wilfred Kidau kwa kushirikiana na kampuni ya kubashiri michezo ya Sportpesa wametangaza rasmi kuwa mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara Simba SC ndiyo watakao wakabili klabu ya Sevilla FC inayoshiriki ligi ya La Liga nchini Hispania tarehe 23 ya mwezi wa tano (Mei 23).