Bongo Movie
Vilio na Majonzi: Mwili wa Mzee Majuto wapokewa na maelfu Tanga (Video)
Maelfu ya watu wajitokeza usiku huu hapa Tanga kuupokea mwili wa marehemu Mzee Majuto aliyefariki siku ya jana katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Mwili huo umewasili majira ya saa 6 usiku na kupokewa na maelfu ya watu waliojiandaa kumpokea mkongwe huyo wa filamu.
Poleni sana familia na tasnia nzima ya uigizaji
Pumzika kwa aman