Bongo Movie

Vilio na Majonzi: Mwili wa Mzee Majuto wapokewa na maelfu Tanga (Video)

Maelfu ya watu wajitokeza usiku huu hapa Tanga kuupokea mwili wa marehemu Mzee Majuto aliyefariki siku ya jana katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Mwili huo umewasili majira ya saa 6 usiku na kupokewa na maelfu ya watu waliojiandaa kumpokea mkongwe huyo wa filamu.

Related Articles

2 Comments

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents