Bongo Movie

Video: Wasanii wanaolia njaa ni wazembe – Steve Nyerere

Msanii wa filamu, Steve Nyerere amefunguka kwa kudai kwamba wasanii wa filamu wanaolia njaa kwa madai kuwa soko la filamu limekufa ni wazembe ambapo amedai msanii kupitia kazi anayofanya anaweza kufanya kazi tofauti na kuigiza na akaingiza pesa nyingi.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents