Habari

Adama Barrow achaguliwa kuwa Rais mpya wa Gambia

Aliyekuwa mgombea wa chama cha upinzani kwenye uchaguzi mkuu wa nchini Gambia, Adama Barrow amechaguliwa kuwa Rais wa nchi hiyo.

article-doc-io0j5-24nm2lghqv65b78a447e67423b64-85_634x422

Mgombea huyo amemshinda aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Yahya Jammeh aliyeongoza Gambia kwa miaka zaidi ya 20.

Akitangaza matokeo hayo Ijumaa hii mkuu wa tume ya uchaguzi alimtangaza Barrow kushinda kwa kura 263,515 dhidi ya 212,099 alizozipata Rais Yahya.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents