AKA amjibu shabiki baada ya kuchekwa mitandaoni
Ingawa AKA alijaribu kutushawishi kwenye mtandao Twitter kwamba amevunjika moyo kiukweli na kwamba yeye pia ni binadamu, mashabiki bado hawakuwa na huruma.
Moja ya mfuasi wake aifanya picha ya AKA katika meme na kumcheka juu ya kuwa atakua peke yake siku ya wapendanao. AKA alimjibu mfuasi huyo lakini hiyo haikuzuia kuacha kumcheka na kumsumbua.
By show of hands๐ how many of you are single this V-day ๐๐๐ @akaworldwide pic.twitter.com/K5lyBvpnC3
— SnowMan โ (@PopfreeZy) February 5, 2018
Alimuambia shabiki huyo kwamba yeye anaweza kuwa mwenyewe Siku ya Wapendanao lakini angalau ana pesa, na akamwambia shabiki huyo kuwa atakuwa maskini katika mwaka wote wa 2018.
https://twitter.com/akaworldwide/status/960632822611546116
AKA pia alielezea kuwa na yeye pia anahisia na kwamba wakati akikasirishwa anajibu ipasavyo.
https://twitter.com/akaworldwide/status/960641627005050882
AKA aliendelea kutuma ujumbe wa kilio kuhusu upendo na jinsi mtu unavyoweza kubadilika haraka sana.
Hata hivyo mashabiki wake wa kwenye mtandao wa Twitter hawakuwa na huruma badala yake walimkaribisha kwenye ulimwengu huo wa kuachwa.
https://twitter.com/akaworldwide/status/960560797083676672
Bonang hao hemisi ๐๐๐ pic.twitter.com/KoppuWl076
— Melanin MasterPiece ๐ฎ๐น (@AlinahSweets) February 5, 2018
She has no mercy ๐๐๐ pic.twitter.com/fUQkN9jIUI
— Melanin MasterPiece ๐ฎ๐น (@AlinahSweets) February 5, 2018
https://twitter.com/akaworldwide/status/960560797083676672
Welcome to the club dude pic.twitter.com/f8HEkT9Nkh
— Mzukulu WaMakhehla (@Bling021) February 5, 2018
https://twitter.com/akaworldwide/status/960560797083676672
Now you know how others felt when u did that pic.twitter.com/6RgBngJNmF
— Ndique (@king_ndique) February 5, 2018
Na Raheem Rajuu