Michezo
Al Ahly watua Tanzania
Viongozi na Benchi la ufundi pamoja na wachezaji wa klabu ya Al Ahly kutoka Misri wameingia leo nchini Tanzania kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Simba SC.
Mchezo huo utakaopigwa siku ya Ijumaa Machi 29, 2024 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.
Imeandikwa na Mbanga B.