Feisal anaendelea na mazoezi yake Ughaibuni licha ya kuwepo na maneno mengi mtandaoni juu ya kuondoka kwake Young Africa Sports na kuhusishwa na Azam.
Picha anazoweka mtandaoni Zanzibar Finest, Feisal Salum ‘Feitoto’ anaonekana kiungo huyo hana Wasiwasi wala Presha kwa kile kinachoendelea, kiufupi Feitoto ‘Amewacha maneno ameweka muziki’
Imeandikwa na @fumo255