Burudani
Chege afunga ujio wa kundi jipya TNC, adai amepewa thamani yake (Video)
Msanii wa muziki @chegechigunda amezungumza na Bongo5 kuhusu ujio wake ndani ya Kundi la TNC ambalo linaonganisha wasanii watatu @mhtemba , @sir_nature na @chegechigunda .
Chege amesema makubaliano yao ni mazuri ndio maana unaona wasanii ambao waligombana wapo tena pamoja chini ya @majani187
“Nimepewa thamani, Albamu yetu inaitwa umejisikiaje? Umejisikia P Funk kusimamia wasanii ambao waligombana?” Alisema Chege.