Michezo

Azam yashinda tenda ya kuonesha ligi kuu, kumwaga bilioni 23

Kampuni ya Azam Media Limited imeingia makubaliano na shirikisho la soka Tanzania (TFF) ya kuendelea kudhamini ligi kuu Tanzania Bara kwa miaka mitano kwa shilingi bilioni 23.

aZAM

Hafla ya kuongeza udhamini huo imefanyika jijini Dar es Salaam ambapo kwa upande wa TFF iliwakilishwa na katibu mkuu Selestine Mwesigwa huku kampuni ya Azam ikiwakilishwa na Naibu Mkurugenzi wake Tido Mhando

Kupitia Instagram wa Azam wameandika:

Azam Media Ltd yashinda Tenda ya Kuonyesha Ligi Kuu Tanzania Bara kwa mara nyingine tena, udhamini mnono na wa Kihistoria Bilioni 23

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents