Burudani
Babu tale alivyohojiwa Clouds Fm na kuwaambia ukweli kuhusu WCB kukata nyimbo zao kuchezwa kwao (+Video)
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kaskazini Mashariki na mmoja ya meneja wa @diamondplatnumz @babutale siku ya jana alifanyiwa mahojiano na CloudsFM kupitia kipindi cha XXL na kuweka wazi sababu za kukataa nyimbo za wasanii wa WCB kuchezwa katika media hiyo.
https://www.instagram.com/tv/CIqvxLYh2xk/
https://www.instagram.com/tv/CIqvxLYh2xk/