MWANAMUZIKI Beatrice Mathew Shirima anatarajia kufanya mengi katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya maarufu kama Bongo Fleva, kwa kutoa nyimbo yake mpya ya Mapenzi ya kweli, ambao tayari ameshaanza kuutambulisha radioni.
Alisema zaidi ya nyimbo hiyo pia anajiandaa kuja na albamu yake ya kwanza ambayo ataaita Dunia Duara, itakuwa na nyimbo nane au kumi na radha tofauti