Burudani

Ben Pol afunguka A-Z alivyomgonganisha Ebitoke na Tausi Fiesta (Video)

Msanii wa muziki wa R&B Ben Pol amekuwa gumzo mitandaoni kutokana na show yake ndani ya Tamasha la Muziki la Fiesta iliyofanyika Jumamosi iliyopita katika Viwanja vya Leaders Club.

Muimbaji huyo alionekana akiwa amefunga ndoa na muigizaji wa filamu, Tausi na baada ya muda mchache, mchekeshaji Ebitoke ambaye anadaiwa kuwa mpenzi wake wa zamani kuibuka jukwaani hapo na kuliamsha dude mbele ya umati wa watu.

Tukio hilo lilizua msisimko mkubwa kwa mashabiki, ambapo Bongo5 iliamua kufanya jitihada za kuzungumza naye na kueleza A-Z jinsi walivyoiandaa show hiyo na matokea yake kwa mashabiki wa muziki.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents