BurudaniHabari

Burna boy, Wizkid na Rema vinara wasanii wanaolipwa zaidi Afrika

Jarida kubwa barani Afrika linalojulikana kwa jina la Africa Facts Zone limetoa orodha ya wasanii wakubwa barani Afrika wanavyolipwa kwenye show zao.

Jarida hilo limeandika kuwa “Africa’s Highest Booking Fees”

Wasanii wa kwanza wanaoongoza ni Wizkid, Burna Boy, Rema – $1 million kila mmoja ambayo ni sawa na bilioni 2.5 za Kitanzania

4. Davido – $600,000 sawa bilioni 1.5 ya Kitanzania

5. Asake, Olamide – $500,000 kila mmoja ambayo ni sawa na bilioni 1.2 ya Kitanzania

7. Black Coffee – $300,000 sawa na milioni 754 ya Kitanzania

8. Kizz Daniel – $200,000 ambayo ni sawa milioni 503 ya Kitanzania

9. Amr Diab – $170,000 sawa na milioni 427 ya Kitanzania

10. Shatta Wale – $120,000 sawa na milioni 301 za Kitanzania

11. Tiwa Savage, Diamond Platinumz, – $100,000 kila mmoja ambayo ni sawa na milioni 251 ya Kitanzania

13. Yemi Alade – $75,000 sawa na 188 ya Kitanzania

14. Flavour – $70,000 sawa na milioni 176 ya Kitanzania

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents