Michezo

Carrick adai anatamani kubaki Man United lakini huu unaweza ukawa msimu wake wa mwisho

Mchezaji wa klabu ya Manchester united, Michael Carrick ambae hadi saivi ameshacheza zaidi ya mechi 300 amesema inabidi awe mkweli kuhusu future yake ndani ya United.

3a65dc6000000578-3937816-image-a-1_1479209629741

Carrick saivi anamiaka 35 anaona muda wake wa kuendelea kubaki Old Trafford umefika mwisho pia kutoka na kuja kwa Paul Pogba. Carrick wakatai anaongea na Sky Sport alisema,

“Hii ni club kubwa na ninafuraha sana kucheza hapa kwa muda mrefu. Sasa hivi nina miaka 35 na inabidi niwe mkweli juu yangu hapa kwenye club japokua sitaweza kutabiri nini kitatokea msimu ujao.”

Hadi saivi kocha Mourinho chaguo lake kubwa amekuwa mchezaji Paul Pogba ambae amesajiliwa kwa gharama kubwa zaidi.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents