Siku ya leo wakurugennzi wa media mbalimbali wamefika Bungeni Dodoma wakiwa wageni wa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye
Miongoni mwa Wakurugennzi waliofika ni Mkurugenzi wa Wasafi media Naseeb Abdul Maarufu Diamond Platnumz pamoja na Mkurugenzi wa EFM na TVE Majizzo (Professor)wakiwa Bungeni jijini Dodoma kushuhudia uwasilishaji wa bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2023/2924.