Burudani
Diamond Platnumz: Nilisema ntaoa baada ya Ramadhani lakini ndoa ni mipango ya Mungu (+ Video)
Diamond aizungumzia kauli yake ya kuwa baada ya Ramadhani hii ataoa yaani atafunga ndoa. Haya ndio majibu yake. @diamondplatnumz amezungumzia hilo wakati akiongea na waandishi baada ya kumaliza kutoa mkono wa Eid Tandale mapema leo.