HabariMichezo

EXCLUSIVE: Simon Msuva afunguka dili la Yanga SC na Simba

Mchezaji wa Tanzania, Simon Msuva amefunguka kuhusu kuhusushwa kwake na Yanga SC.

Akiongea na @fumo255 katika Exclusive Interview amefunguka pia Klabu ya Saudi Arabia ambayo imemsajili nyota huyo.

Msuva yupo nafasi ya tatu kwenye rekodi za Wafungaji bora wa muda wote kwenye kikosi cha @taifastars_ akiwa na magoli 22, Samatta akiwa wa pili huku Mrisho Mgasa akiwa kinara kwa kufunga mabao 25.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents