Filamu ya Wolper ndani ya Bongo5
Jacky wolper akiwa katika moja ya part, katika filamu yake mpya inayokuja hivi karibuni kwa jina la PRINCESE, Location hii ilikuwa Mabibo Hostel.
Mzigo bado ukiwa unaandalia, hapa alikuwa akijipitisha mbele ya waigizaji wengine walioigiza kama wanafunzi wa chuo wakiwa Mabibo Hosteri, Babu Jouney ‘Sharobaro Presedent’ naye alikuwepo.
Jacky Wolper hakuishia kuigiza tu, aka na yeye akataka kujiona, akiwa kwenye scene
Ikafika zamu ya Gelly ‘Rhymse’ akiwa na Jenifa ‘Odama’, hii inaonyesha jinsi gani wasanii wa filamu walivyolivamia Game la filamu, haya bwana!!
Kamera Man naye akasema nifotoe moja kwenye pozi, anaitwa Farid Uwezo.
Huyu mshika taa, sijui anaitwa Taa Man, mimi sijui naomba unijulishe, ila naye ni muhimu sana katika kazi hizi.
Hapa Jacky alikuwa ananiuliza je? ajiingize kwenye muziki, kwakuwa wanamuziki wanaingia kwenye filamu? Mimi sijui hebu wewe mshauri.
Hii ndiyo filamu yake mpya ambayo inatarajia kuja hivi karibu,