Burudani
Forbes: Waigizaji wa kike wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani 2015
Hivi karibuni jarida la Forbes limetoa orodha mpya ya waigizaji wa kike wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani 2015.
Nafasi ya kwanza katika orodha hiyo imechukuliwa na staa wa “Hunger Games”, Jennifer Lawrence aliyetengeneza $52 million kwa miezi 12 iliyopita.
Ifuatayo ni Top 10:
1. Jennifer Lawrence: $52 million
2. Scarlett Johansson: $35.5 million
3. Melissa McCarthy: $23 million
4. Fan Bingbing: $21 million
5. Jennifer Aniston $16.5 million
6. Julia Roberts: $16 million
7. Angelina Jolie: $15 million
8. Reese Witherspoon $15 million
9. Anne Hathaway $12 million
10. Kristen Stewart $12 million