Michezo
Harry Kane hatakuwepo katika mchezo wa jumapili dhidi ya Arsenal
Kocha wa Tottenham Hotspur Maurcio Pochettino amethibitisha kuwa mshambuliaji Harry Kane atakuwepo katika kikosi chake kitakachoivaa Arsenal jumapili hii kwenye uwanja wa Emirates.
Kane amekuwa nje ya uwanja tangu aumie kifundo cha mguu Septemba,18 mwaka huu kwenye mchezo dhidi ya Sunderland.
Mshambuliaji huyo wa Uingereza hadi saivi amefunga kwenye kila mechi katika mechi 3 za mwisho ambazo Spurs wamekutana na Arsenal katika EPL.