Habari

Huddah Monroe aiunga mkono kampeni ya ‘‎MydressMychoice‬’

Staa wa Kenya, Huddah Monroe amewaunga mkono wanawake nchini Kenya waliondamana kudai haki ya kuvaa nguo wanazopenda ‘‎MydressMychoice‬’.

10817587_402288266588682_821950084_n

Akizungumza na BBC mmoja ya wanawake hao, alisema ameamua kuandamana ili kuitaka serikali ya nchi hiyo kuunda sheria kali ya kuwalinda wanawake. “Wanawake wanafaa kuacha kunyanyaswa wanapo nyanyaswa, sheria za kuadhibu mtu yoyote ambaye anayenyanyasa mwanamke zitengezezwe na zizidishe zaidi” alisema mwanamke huyo.

1538392_390858837728600_21675324_n

“MyDressMyChoice Protest! Kenyan men need to learn to respect women.MyDressMyChoice Protest! Undressing a woman in public is Sexual Harassment,” aliandika Huddah.

10311290_1489238331364568_1057371878_n

10735080_366634363500871_2005511441_n

10817575_863228470367633_2008760191_n

Related Articles

Leave a Reply

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents