Burudani
Jaivah, Marioo na Chino wakinukisha kwenye Tamasha (Video)
Tazama mkali wa sauti nzito ya amapiano @jaivah alivyoibua shangwe baada ya kupandishwa na mkali @marioo_tz jukwaa la Shangwe la Utawala Mkesha wa Miaka 60 ya Muungano Viwanja vya Tanganyika packers Kawe.]
Video Nzima ipo katika Akaunti yetu ya youtube ya Bongo5
Written and edited by @abbrah255 & @Johnbosco_mbanga
Imeandikwa na Mbanga B.