Joti na mke wake walivyofanya sherehe ya ndoa yao Dar (Picha)
Mchekeshaji kutoka Kundi la Orijino Komedi, Lucas Mhuvile ‘Joti’ ameuaga ukapera baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu, Tumaini Hasssan ndoa hiyo imefungwa Agosti 28, mwaka huu katika Kanisa Katoliki la Magomeni jijini Dar Es Salaam.
Baada ya kufunga ndoa, sherehe za ndoa yao hiyo ilihamia katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na ndugu jamaa na marafiki. Angalia picha.
Joti na mke wake wakiwashukuru wazazi
Joti na Mke wake wakisubiria kesi
Muda wa Vinywaji
Wopler na Mboni wakiwa katika sherehe hiyo.
Antu Mandoza, Stan Bakora na Linah Sanga
Mke wa Masanja akiyeshika keki
Mpoki akiwa na mtu wake wa karibu
Mtitu akiwa na mtu wake wa karibu
Ukumbi ulivyopendeza
Wadau kutoka Azam TV ambao walipewa haki ya kumiliki kurusha ndoa hiyo live.