Burudani

Kenya Airways yapunguza safari za Dar kutoka 42 hadi 14 kwa wiki!

Shirika la ndege la Kenya Airways limepunguza safari zake za Dar es Salaam kutoka 42 hadi 14 kwa wiki kutokana makubaliano kuhusu safari za ndege kati ya Kenya na Tanzania.

5247143905_c0d5f0bc25_b

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania, TCAA iliandikia mamlaka ya Kenya kuagiza mashirika ya ndege ya nchi hiyo kupunguza safari zake za Tanzania kuanzia March 19.

Maelezo ya Kenya Airways yanasema:

Kenya Airways wishes to notify its customers that it has reduced its frequencies to Dar-Es- Salaam from 42 to 14 per week and will now fly only twice daily to Dar–Es-Salaam from today March 19th March 2015.

This is as a result of a communication from the Tanzania Civil Aviation Authority to the Kenya Civil Aviation Authority reducing flight frequencies of Kenyan carriers into Tanzania.

Kenya Airways operates 5 daily flights to Dar-Es-Salaam and one to Kilimanjaro and one to Zanzibar.

Noting that Bilateral Air Services Agreements (BASA) are negotiated between governments, we are aware that the relevant Kenya Government agencies have reached out to their Tanzanian counterparts in a bid to resolve the issue.

Transport is a critical pillar in the integration of the East African Community. As such, expeditious resolution of the pending issues pertaining to the BASA is crucial in fast-tracking regional integration.

Kenya Airways remains committed to continue playing its role in promoting the growth of the regional economy and working with all stakeholders in achieving this goal.

We apologize to all our customers for the inconvenience caused during this period.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents